



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyu waziri mkuu sio mwizi kabisa si unaona kwa wazazi wake kulivyo hongera pinda
ReplyDeleteMtoto wa mkulima kweli ana makuu...ingekuwa ni fisadi ungekuta wazazi wake wanaishi kwenye nyumba ya gorofa.Huyu na Sokoine tu ndiyo walikuwa wameka utaifa mbele.
ReplyDeleteJe Je Je hawa ni wazazi wa Pinda kwa maana ya Kumzaa? Maana Pinda mwenyewe alizaliwa Mizengo Kayanza Peter Pinda (born August 12, 1948) hivyo kwa sasa ana miaka 62. Je kama mama yake ana miaka 70 basi alizaa akiwa na miaka 8? n baba yake ana miaka 80 je alizaa akiwa na miaka 18? Naomba majibu ili nijue hawa ni wazazi wa kumzaa waziri mkuu wetu au wazazi wadogo? Naomba ufahamu.
ReplyDeleteWala usipate tabu ndugu yangu hapo juu hawa ni wazazi wake kabisa wa kumzaa nawajua tulikuwa majirani henzi hizo hapohapo Kibaoni Mpanda bigup wazee kwa kumlea kamanda Mizengo Peter Pinda kweli alitakiwa kuingia madarakani tangu zamani
ReplyDeletegood question??? wadu tunaomba jibu ili tuendelee kuosha kinywaaaaaa??!!1
ReplyDeletecha ajabu kipi kama ni baba yake wanaume wazaa hata wakiwa na umri mdogo labda huyo ni mama yake mdogo yaani baba yake alioa mke mwingine
ReplyDeleteJamani Waziri Mkuu amefanana na mama yake. Hongera wazazi.
ReplyDeleteMimi Baba yangu ana miaka 58 mama yangu ana miaka 56 Mimi nina miaka 43 naomba mnijadili mimi na wazazi wangu...nakaa manzese kwa tumbo sina wadhifa wowote serikalini wala kwenye mashirika yenu ya umma, ninauza karanga mtaani!!!!
ReplyDeleteHii imenifurahisha sanaaaa. Si muda mrefu uliopita nilimuona Mheshimiwa Pinda akimjulia hali Mzee Edward Nsalamba, aliye kuwa mbunge wakati huo halafu tena namuona HE JK anawajulia hali wazazi wa Pinda. Hii inaonyesha wazi watu hawa walivyolelewa katika maadili mema ya upenda.Mi nilisoma na Vijana wa Mzee Nsalamba anayeitwa Christopher E. Nsalamba, na tuliishi majirani sana Mpanda kama ni mpenzi wa blog ya jamii basi anipe email tuwasiliane.
ReplyDeleteMimi nadhani umri wa wazee wetu hawa umekosewa.Tujaalie mtu kuzaa akiwa na miaka 14 basi mama yetu huyo anatakiwa awe na miaka 76 na siyo 70 na baba awe kazaa akiwa na miaka 18 hapo kitaeleweka. vinginevyo mtuambie hawa ni awlezi wa Mizengo Kayanza na sio wazazi wa Mtoto wa mkulima mwenye umri wa miaka 62
ReplyDeleteWewe Mon Jun 21, 12:30:00 PM ujaweka email yako halafu unasema nikupe email tuwasiliane. Wewe vipi?
ReplyDeletehaya je na haya majina ni ya kikwetu kwetu au ya kisumbiji sumbiji na portugal jamamani naona kuna XAVI NDANI HUMO?
ReplyDelete