Mwanachama wa CCM, Naghenywa Kaboyoka akifafanua jambo wakati akitangaza kugombea katika jimbo la Same Mashariki wakati wa mkutano na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni mpambe wake, Manase Mjema.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Dadangu mpendwa Naghenywa, Je Dk David amekwambia hatashiriki? Huoni kuwa kijana wetu bado anastahili nafasi nyingine amalizie yale mazuri aliyotuanzishia? wacha hizo dada, Dk david anaweza na bado ni Mbunge kijana. Sio kuwa nakunyima haki yako ya kikatiba bali nakupa ushauri kwa manufaa ya same mashariki

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 22, 2010

    Laiza said hebu tulia fanya uchunguz uelewe ndio utoe maoni!! Huyu Kaboyoka anagombea same mashiriki jimbo ambalo kwa sasa linashikiliwa na anne Kilango. Huyo Davi Mathayo hahusiki hapa!! Tunataka tumuondoe Kilango maana amekua ni mtu wa maneno mengii bungeni ila jimboni hakuna kinachofanyika!! Sisi hatutaki maneno mengi bila vitendo. Napenda Kumpongeza Mathayo David kama amefanya kazi nzuri Same. Lakini sa hivi Same mashariki tunamtaka KAboyoka. Nadhani wanaoelewa watakua pamoja nami. Mdau

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...