RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akisalimiana na Kaimu Balozi wa Norway Tanzania Svein Baera alipowasili katika kituo cha kupokelea Umeme cha Wesha Pemba wakati wa Uzinduzi wa Umeme kutoka Tanga Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume akiponyeza kitufe kuashiria kuuzinduwa Umeme kutoka Tanga uliofanyika katika uwanja wa Mpira Gombani, kulia Wazari wa Maji Umeme Nishart na Ardhi Mansoor Yussuf Himid.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume akiponyeza kitufe kuashiria kuuzinduwa Umeme kutoka Tanga uliofanyika katika uwanja wa Mpira Gombani, kulia Wazari wa Maji Umeme Nishart na Ardhi Mansoor Yussuf Himid.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali Mbaruok wakati wa kutembelea kituo cha kupokelea umeme kutoka Tanga kilichoko Wesha Pemba.
hawa jamaa si wanasema mafuta yao....mbona wanachukua umeme tanga?
ReplyDeleteuNAJUA KM HUO UMEME TOKA tANGA SIO BURE, TUNALIPA TENA KWA GHARAMA KUBWA TU NA NDIO MAANA SERIKALI ZIKATILIANA SAINI NA KUFIKIWA MAKUBALIANO
ReplyDelete