Mdogo wetu Jr Steven Richard Kilimbe wa Mwanza 24/06/2010 anatimiza mwaka mmoja tangu atutoke na tunakuomba wewe pamoja na Wapendwa wengine tuungane pamoja kumkumbuka Jr Stephen.
''Bwana alitoa na Bwana alitwaa,
''Bwana alitoa na Bwana alitwaa,
jina lake libarikiwe"
Ni Sisi, David, Doreen, Doris & Daniel- Isamilo Mwanza.
Ni Sisi, David, Doreen, Doris & Daniel- Isamilo Mwanza.
Imenisikitisha sana.M/mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
ReplyDeleteMwenyenzi Mungu awape faraja familia yote. Mungu wetu ni mwema.
ReplyDeleteMdumu katika imani. Amen.