Ndugu michuzi
Tunaomba uwatangazia wadau wanataka kupata habari mbali mbali za Tawi la CCM Helsinki waingie kwenye web site yetu.
Link hii hapa;
Tunaomba uwatangazia wadau wanataka kupata habari mbali mbali za Tawi la CCM Helsinki waingie kwenye web site yetu.
Link hii hapa;
http://tawilaccmhelsinki.blogspot.com/
Tunatanguliza shukrani
Wadau Helsinki
Tunatanguliza shukrani
Wadau Helsinki
Hamna cha kufanya cha muhimu kilichowapeleka huko? Shule mmemaliza? Master's, PhD? Kabla sijasahau leo hii ninatuma taarifa kwenye Foreign Affairs Ministry ya Finland kuwa kuna kundi la wa Tanzania linaendesha political operation pamoja na majina yenu na simu zenu. Kwa nini msirudi Tanzania kama mnaipenda sana CCM? Wanafiki wakubwa ninyi.
ReplyDeletehongeraaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
helsinki oyeeeeeeeeeeeeeee
mdau oulu
hongera vijana wa Helsinki, sasa tumewasoma
ReplyDeleteKidumu chama cha mapinduzi
mdau moscow
wewe mdau wa kwanza ukumbuke kuandika huo ujumbe kwa kifini sio kizungu!!!
ReplyDeleteNaungana na mdau wa kwanza,kwanini wasirudi bongo kama wanapenda siasa? Jamani watu mpo ulaya matawi ya CCM kama mpo TANDIKA!!!!!!!Hao niwale wasiokuwa na lakufanya. Hapa UK napo washatuchosha na hayo matawi ya CCM yaani unashindwa kutofautisha kama upo tandale au ulaya, Jifunzeni kwa Wenzenu,Mbona hamna Matawi ya Labour Pary, Consevative au Liberal democraty huko Bongo? Au mnafikiri hamna waingereza waishio Tanzania!!!!!!! Ndio maana nchi za wenzetu wanatuzarau Waafrica. Jamani You need to be at the right place in the right time doing the right things. Kilichowapeleka Finland ni Kufungua Matawi ya CCM?.michuzi kaka yangu naomba usinibanie.Thnx.
ReplyDelete