Home
Unlabelled
wasani waliotia fora katika siku ya kupiga vita madawa ya kulevya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
nyoo misifa mingine bwana, mwenyezi Mungu tu ndo anapaswa kupigiwa magoti wengine sijaona humu duniani lol!!
ReplyDeletesasa huyo professor anapiga magoti ya nini kwani walikuwa awana kibali cha ku perform ama !!! ndo kujikomba komba !! dude be professional !!!
ReplyDeletekaazi kweli kweli we profesa jay jamani mpaka magoti unamuabudu nani hapo.
ReplyDeletealiyetoa na aliyepokea wote wameoza. wewe unaruhusu mtu akupigie magoti si balaa hilo? halafu haya maadhimisho sijui sherehe ni za nini? wauza madawa mnawajua kamateni wekeni jela. hivi china kuna siku kama hii? lakini hakuna biashara kama hii!
ReplyDeleteI Like MSONDO,MR NGURUMO,I Grew on your Music..I'm happy you are still giving us the real Bongo music,Thanks
ReplyDelete