Home
Unlabelled
maandamano ya kupinga madawa ya kulewa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Maandamano hayana maana yoyote kama hatua kali dhidi ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya hazitachukuliwa. Kusimama majukwaani na kuhubiri tuache tuache wakati waletaji wanazidi kuingiza madawa nchini ni bure. Hivi ni kweli inashindikana kuwawajibisha au tunaoneana aibu!! Hivi haiwezekani kabisa kuwatia mbaroni? Maana haiwezekani kwamba watumiaji hawajui wanakopata. Tuwatumie haohao watumiaji ili watujulishe wapi wanapata. Vyombo husika vya dola kazi kwenu.
ReplyDelete