Home
Unlabelled
miaka 10 ya twanga pepeta yaadhimishwa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Dada Asha mimi nawakumbuka wale MK Group zama zile wakiwa wanapiga gorofa ya saba New africa wakati Msilu Baraka ndiye mwenye bendi...jee twanga wanaweza kuzikumbuka zile za zamani?...mimi naimba nasikitika ooo...tupige magoti tumuombe Mumngu baabaa...atuondolee ugonjwa huu...ukimwi ugonjwa usio na tiibaa...
ReplyDeleteHeavy weight,hiyo suti du?
ReplyDeleteMdau Mbije,A
heavy weight hiyo suti ya nani ?
ReplyDeleteHEAVY WEIGHT HIZO SUTI NI MNYAMA GANI !!NAONA KAMA NI NGOZI ! TEH TEH TEH
ReplyDeleteDully jamani! Hio suruali ndio nini hivyo? Mbona hayo mambo ya watoto na sio ma-super star kama wewe?
ReplyDeleteduh mbona imekuwa kama kichfuchefu Prof J na ujanja wote hiyo suti gani sasa, huyo Dully ndio kabisa mchafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu yani picha tu anaonyesha vumbi mpaka kwenye kope jamani kwani kuvaa vizuri ni dhambi au...na wewe Da Asha mtu mzima ovyooooooooooooooooooooo viwiko ka ngozi ya tak...au kwapa kujichubua na utu uzima huo unatafuta nini kuchukuliana mabwana na wanao au....yaani mnatia kichefuchefu
ReplyDelete