Mbunge wa Ilemela na mmiliki wa vyombo vya habari vya Star TV na Radio Free Africa vya jijini Mwanza, Mh. Anthony Diallo (kati), BW. Deo Rweyunga ambaye ni Mkurugenzi wa Radio One Stereo ya jijini Dar, Bi Andrea Schmidt mkuu wa idhaa ya kiswahili ya Redio Sauti ya Ujerumani (DW) na ankal Aboubakar Liongo wakila pozi leo katika studio za DW jijini Bonn. Mh. Diallo na Bw. Rweyunga wamealikwa na DW katika kongamano la kimataifa la vyombo vya habari linaloandiliwa kila mwaka jijini Bonn.
Home
Unlabelled
Mh. Diallo na Deo Rweyunga ndani ya DW jijini Bonn
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kakangu Liongo, za siku? Pole sana kwa yote!! Naomba namba ya simu ya anko taf.
ReplyDeleteNitumie kwa: ninah85@ymail.com
Nduguyo.
Sweden
Ankal,je kuna uwezekano wa kuongea nao Mheshimiwa Diallo au Rweyunga?
ReplyDeleteMimi niko Bonn na ningependa kuwasiliana nao.Mdau
Ankal Abu naona mambo yako si mabaya uko na mbunge wetu mbona mshikaji wako yule dada mkenya mwasaya simuoni ankal
ReplyDelete