Naibu Balozi Uingereza Chabaka Kilumanga akiteta na Dr Jane Goodall kwenye tafrija ya miaka 50 ya Taasisi yake . Dr Goodall alikuja Tanzania kwanza 1960 alivyokuwa na miaka 23 . Utafiti wa Nyani ( Chimpanzee) Gombe ambayo imesaidia kukuza jina la Tanzania kwenye maswala ya hifadhi ya wanyama aina ya chimpanzee duniani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 01, 2010

    Kaka Misupu kwa matumizi ya baadae chimpanzee ni sokwe na sio nyani(baboon)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...