

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni swali tu msije mkanitoa roho. Zanzibar timu za mpira na mashindano yoyote yanayodhaminiwa ama na wauza au watengeneza pombe vinakatazwa sasa inakuwaje Rajab na Athumani wenyewe wako jikoni wakitengeneza hii kitu haramu?
ReplyDeleteMnafanya sifa sasa na hivyo vyakula vya Bongo? Wengine tuko away from home jama! Ah!
ReplyDeleteAAH waacheni wazanzibar naona mmewakaa kooni. na ww nani alokwambia kisiwa kizima kinawakilishwa na rajabu na athumani.nyambaf
ReplyDeletehicho chakula cha njano ni fries ama!...mi naziona kama senene vile!!..aamm aaammmm hehe!!!
ReplyDelete