Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Phillip Marmo akitembelea mabanda ya taasisi mbalimbali wakati wa kuadhimisha siku ya kupiga vita madawa ya kulevya dunini bustani ya mnazi mmoja garden jijini dar wikiendi hii. mbele ni Kamishna wa Tume ya kudhibiti madawa ya kulevya nchini Mh. Christopher Shelukindo na mwenye kapelo ni mkuu wa mkoa wa Dar Mh. William Lukuvi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Phillip Marmo akioneshwa pipi za 'unga' walizokamatwa nazo wasafirishaji wa cocaine ambao huzimeza na kuzibeba zikiwa tumboni kwenye banda la Tume ya Kupambana na madawa ya kulevya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Phillip Marmoakiangalia cocaine kwenye banda la Tume ya kupambana na madawa ya kulevya
madawa ya kulevya
wadau wakitembelea banda la chama cha skauti na girl guide mbadala za kuwafanya vijana waachane na madawa ya kulevya








YAANI MWAKA MZIMA WAMEKAMATA PIPI TATU TU HUO NI UONGO MKUBWA HEBU SOMENI HABARI HII MKENYA AKITOKEA TANZANIA TENA JANA TU SIKU YA KUADHIMISHA HAYO MADAWA YAO AMEBAMBWA UGIRIKI -YAANI SASA WANATUPAKAZIA ZAIDI WATANZANIA SIO MAULAYA FUATA HABARI HII http://www.newsit.gr/default.php?pname=Article&art_id=32346&catid=4&la=1
ReplyDeleteNaomba kuwauliza hao waheshimiwa hatua gani imechukuliwa kwa wale watu vigogo waliotajwa katika listi ya waliotajwa kushughulika na biashara ya unga?
ReplyDeleteKama hayo madawa yaliyokuwa displayed hapo ni ya ukweli, forensic stock taking inatakiwa ifanyike maonyesho yakiisha, au tusije skia ooh vipipi viliibiwa na wanachi waliokuja maonyeshoni
ReplyDelete