


akiangalia cocaine kwenye banda la Tume ya kupambana na madawa ya kulevya


mbadala za kuwafanya vijana waachane na madawa ya kulevya
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
YAANI MWAKA MZIMA WAMEKAMATA PIPI TATU TU HUO NI UONGO MKUBWA HEBU SOMENI HABARI HII MKENYA AKITOKEA TANZANIA TENA JANA TU SIKU YA KUADHIMISHA HAYO MADAWA YAO AMEBAMBWA UGIRIKI -YAANI SASA WANATUPAKAZIA ZAIDI WATANZANIA SIO MAULAYA FUATA HABARI HII http://www.newsit.gr/default.php?pname=Article&art_id=32346&catid=4&la=1
ReplyDeleteNaomba kuwauliza hao waheshimiwa hatua gani imechukuliwa kwa wale watu vigogo waliotajwa katika listi ya waliotajwa kushughulika na biashara ya unga?
ReplyDeleteKama hayo madawa yaliyokuwa displayed hapo ni ya ukweli, forensic stock taking inatakiwa ifanyike maonyesho yakiisha, au tusije skia ooh vipipi viliibiwa na wanachi waliokuja maonyeshoni
ReplyDelete