Mlinzi wa timu ya Mkoa wa Lindi, Rajabu Mbela (kushoto) akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Tanga, Mohamed Hassani (katikati) wakati wa mchezo wa vijana chini ya umri wa miaka 17 wa Copa Coca Cola uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar leo. Kulia ni Diones Tindwa. Tanga ilishindi mabao 5-1. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.
Mlinzi wa timu ya Mkoa wa Lindi, Rajabu Mbela (kushoto) akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Tanga, Mohamed Hassani (katikati) wakati wa mchezo wa vijana chini ya umri wa miaka 17 wa Copa Coca Cola uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar leo. Kulia ni Diones Tindwa. Tanga ilishindi mabao 5-1. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...