TM Music ikishirikiana na Maua Recording Studio inakuletea Tamasha la uzinduzi wa DVD yao Ijulikanayo kwa Jina la TUTAMWONA MWOKOZI. Tamasha hilo litafanyika tarehe 6/6/2010 katika ukumbi wa City Christian Center Upanga, kuanzia 11 jioni.

TM music [Tuungane kwa Mema] au ukipenda Tumaini na Mgini, ni kundi kubwa la waiimbaji wapatao 170 wakiimba nyimbo za injili za kumsifu Mungu.
Kundi hili kubwa lina nia moja ya kua pamoja kwa mema.Na limewashirikishawaimbaji kutoka makabila mbali mbali na madhehebu yote kwa kumsifu Mungu kwa uimbaji mahiri tena wenye Mvuto.Nyote mnakaribishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2010

    Michuzi ingekua vizuri kama ungepata aelezo kutoka kwa wananchi hao, maana taarifa za polisi siyo za kuziamini kabisa, hata siku moja hawawezi kueleza mapungufu yao hata kama yanaonekana wazi watajitetea tu na kuwakandamiza wananchi,
    kwanza waliwahesabu vipi hao watu 300?mbona haiingii akilini,
    nampaka watu 300 wafikie lengo moja siyo bure,lazima kunadukuduku kubwa wakashindwa kuvumilia.
    Wananchi wote tunafahamu viuri tabia za polisi au watu mbali mbali wenye madaraka. hata wakiua watashinda tu kesi na mpaka leo wahalifu hawajapatikana.poleni wananchi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 02, 2010

    sawa, lakini wekeni angalau contact information.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 02, 2010

    Nyie ni wakali,nilitizama interview yenu na Tumaini Tv yaani mnaimba kama malaika,nitakuja kujumuika nanyi jumapili!Na kupata CD zenu pia! Kwa wasiopajua City Christian Centre ipo Upanga inatizama na Mzumbe University-Dsm School of Business

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...