Ully Mwaipopo mkazi wa kimara akipokea zawadi ya Luninga aina ya LCD nchi 32 iliyounganishwa na king’amuzi cha DSTV kutoka kwa mtaalamu wa bidhaa wa Vodacom Tanzania Joe Bendera (kulia) kwa niaba ya mshindi wa shindano la Kombe la Dunia Trivia SMS, Ganga Mlipano. Katikati ni Afisa Huduma wa DSTV, Carlos Amri,Vyote vikiwa na thamani ya Milioni 1.6
Ully Mwaipopo mkazi wa kimara akipokea zawadi ya king’amuzi cha DSTV pamoja na Luninga aina ya LCD nchi 32 kilichounganishwa na kulipiwa kwa muda wa miezi mitatu kutoka kwa mtaalamu wa bidhaa wa Vodacom Tanzania Joe Bendera (kulia) kwa niaba ya mshindi wa shindano la Kombe la Dunia Trivia SMS, Ganga Mlipano. Katikati ni Afisa Huduma wa DSTV, Carlos Amri, Vyote vikiwa na thamani ya Milioni 1.6

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 23, 2010

    Braza ume-win luninga!! Sio mchezo hongera sana. Mpe hongera na Attu mshabiki wa England, mwambie sasa ndio ata-enjoy World Cup. Big up bro!!

    ReplyDelete
  2. Aunt Caro, UKJune 23, 2010

    Pitiliza nayo Kimara hiyo Ully, ujanja kuwahi!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 23, 2010

    Nampongeza mshindi lakini kulikuwa na mizengwe fulani, manake kuna kipindi nilikuwa nashiriki ukituma jibu mara 2 au 3 unapatia, ukituma tena wao hawaleti swali tena, ukiuliza swali pesa inakatwa swali haliji. Unakatishwa tamaa, na nilifanya hivyo zaidi ya mara nyingi.
    kwa kweli sina hakika saana kama shindano lilikuwa fair.

    Ila nampongeza kama ameshinda kihalali manake niliona kama kuna namna fulani ya ujanja wa wendesha shindano.

    Ilifika siku moja nikamuuliza customer care, akaahidi subili swali litakuja lakini halikuja.

    Kwa kweli nimekata tamaa na mashindano ya mitandao, unaliwa pesa bure.

    Mi nadhani bora ningeliwa si kwa ujanja wa kutokuleta maswali kulingana na maelezo husika. habari ndio hiyo.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 23, 2010

    Mh Uli afadhaki kimara tumeshinda safari hii kila siku mitaa fulani tuu? Umependeza mwaya wape hai masela wa kimara.
    Mdau Sweden

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...