

Timu ya wazee Ugiriki iliweza kusawazisha katika dakika za majeruhi na kutoka droo ya 2-2 na vijana wa jiji hilo kwenye uwanja wa Faliron Piraeus wikiendi ilopita.
Vijana ndio walianza kufunga dakika ya 30 kwa bao la KASSIM LIGOPORA kabla HOZZA hajaongeza la pili.. Wazee nao walipapatua kwa goli la AZIZ katika kipindi cha pili na MILALA aliokoa jahazi katika dakika za majeruhi.
Kwa kuwa kila timu ilijiamini kuwa ni bora na mshindi kukosekana, inafikiriwa kuandaliwa mechi ingine na wadau waliopo nchi za jirani na hata nchi za mbali wanaalikwa kwenda kushuhudia pambano hilo la marudiano.
Ndio ALLY AMIR AKIDA kama nakuona unelishika duara la wazee nakufananisha na ALLY MAUMBA.
ReplyDeleteMdau
Kisiju pwani
naimiss umangani. Kumbe uwanja wa Faliro bado upo? Nausudu sana sistimu yenu bab kubwa.endeleeni hivyo hivyo na sisi ingawa hatupo huko lakini tupo nanyi kwa moyo wote
ReplyDeletesawa shalamar bado unaweka mwili safi waonyeshe vijana messina line ulivyokuwa ukifanya mavitu yako enzi hizo mitaa ya magomeni ninaimani wawekukubali..mwambie kassa asijifiche tumemuona. mdau kondoa street magomeni
ReplyDeleteTupeni majina ya hao wadau - Sabri yumo?
ReplyDelete