
Afisa wa Redds Miss Ilala amesema: "Sisi tunajitahidi kuwafundisha warembo wetu kuwaona waandishi wa habari kama marafiki na watu wa kushirikiana nao na wala si maadui kwa kudhani kuwa watawaandika vibaya".
Saa nne Alhamisi walikuwa magazeti ya serikali Dailynews na habari leo, saa tano, Jambo Leo halafu wakaenda Business times na kumalizia Mwananchi Communications. Leo wataendelea na ziara hiyo.
OK, mmependeza. OMBI: Mmeshakuwa watu maarufu, umaarufu usiwaleweshe mkajisahau na kuja kufanya mambo ya ajabu.
ReplyDeleteJamani utamaduni wetu emebadilika sana,nadhani niliondoka bongo zamani sana. Mbona sioni hapo hata mmoja mwenye miguu ya chupa ya bia? sioni hata mmoja aliye jaziajazia? wote wamepigwa pasi kiaina,ndio beauty ideal za siku hizi hizo?
ReplyDeleteEnzi zetu ukikosa demu aliyejazajaza ndio unachukua hao,halafu uwe tayari kutaniwa na washkaji eti mshkaji demu wake ana miwa!;);)LOL.