Home
Unlabelled
ankal akutana na wadau wa australia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal, ukija Australia usije kimya kimya useme kabisa lini waja tujumuike kwa pamoja....
ReplyDeleteSawa Askofu, mpe hongera bwana harusi mbona mimi sialikwi
ReplyDeleteAnkal mimi mayor hapa washington dc,jacob na dorah ni jamaa zangu tulikua nao enzi za sekondari ila nimepotezana nao zaidi ya miaka kumi. Na sina contact zao. Email yangu ni mayormlima@yahoo.com. Wampendeza sana their realy couple and its 4real. All the best. Mayor
ReplyDeleteWadau wa Australia (au sitolia) na wale wa New-Zealand (nchi mpya ya Zea)tupeni habari ya maisha huko,je kunalipa huko,upatikanaji wa kazi n.k
ReplyDeleteila Australia si wabaguzi sana?mtu mweusi si anabaguliwa sana huko?
watakaoalikwa wa wa kule Tanangozi kwa sababu Anka hajui ile iitwayo bamboo juice ila coconut juice
ReplyDeletemh ankal bwana?
ReplyDeleteeebwana unakuja aus pande ipi mnkuu tujulishe na lini tukupokee wadau tunatamnani kukuona
ReplyDelete