

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi hivyo vidole viwili maana yake nini? kitime na michuzi umri bado unaruhusu?
ReplyDeleteNi milestone gani inasherekewa hivyo au kwa vile kaenda marekani mwaka huu ndio basi imekua taaabu.. Toka lini tunatangaziwa hii besidei na kijana mwenyewe ni mtu mzima sasa sijui he is turning 20, 21, 25, 30 or 40 yrs old?
ReplyDeleteYaani kijana yupo marekani afanyiwe party bongo! yeye mwenyewe ameshiriki vipi sasa. lakini ni mapenzi ya mzazi! He must be doing very good in America then.
ReplyDeleteKumbe mzee nanihiii ni chadema???
ReplyDeleteAlama hiyo ni alama ya amani kwa watu wa zamani, na kuna tatizo gani baba mtu kusherehekea birthday ya mwanae?
ReplyDeleteHalooo halloo ya njenje jamani njenje kiboko.twamtakia afya njema mafanikio mema mtoto WA Babu njenje. Ankal piga pande wadau WA USA wamlete njenje.umecharaza kiboko ankal suti hiyooo.wiki hiii mhh full kuurambia au hujagusa camera.
ReplyDeleteYbinty
Hii sherehe siyo Birthday kama tunavyoambiwa yawezekana huyu Feisal Njenje amepata Makaratasi ya kwenda Tanzania ndo maana familia inafurahia. Make yule Mnugu alimtesa sana huyu kijana. Kwa hiyo familia ina haki ya kusherekea endapo kama kijana wao amepata Paper ama Ganda la Kijani.
ReplyDeleteMdau D.C-USA
Pongezi Feisal. Na ahsante Babu njenje kwa kutupa burudani ya muziki wa hali ya juu kwa miaka 37!!! Tunamwomba Mwenyezi Mungu Muumba na Mlinzi awape nyinyi wote na Muhidin Issa Michuzi na familia zenu afya nzuri na furaha. Amin. Na tunamwomba Muumba awatoe chuki wale haters wote waliomwaga matapishi yao hapo juu na awaongoze kwenye mwanga wa mapenzi. Amin. God bless. Amin. David Solomon. (UK)
ReplyDelete