Mheshimiwa Balozi Peter A. Kallaghe akiagana na Mstahiki Meya wa mji wa Ottawa Bw Larry O'Brien.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Canada, Bw. Kenneth Sunquist, aliandaa chakula cha mchana kwa niaba ya Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kumuaga rasmi Mheshimiwa Balozi Peter A. Kallaghe na mke wake Mama Joyce Kallaghe baada ya kuhitimisha kipindi chake cha uwakilishi nchini Canada. Wengine kwenye picha ni maafisa waandamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Mabalozi wa baadhi ya nchi za Afrika na Caribbean.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2010

    tunakusubiri kwa hamu sana hapa Uingereza.
    Mdau -Ukerewe!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2010

    Jamani hii couple ya Mheshimiwa Balozi na Mkewe inanimaliza, they are well exposed mtoto wa nyoka ni nyoka manake Balozi Peter ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Balozi Cecil Kallaghe. Wish you all the best in UK

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2010

    Karibu UK lakini chondechonde, CCM iache tu aende nayo Marekani.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 16, 2010

    Ijapokuwa siwafahamu Balozi na Mkewe kibinafsi lakini ukweli na tuuseme, Wamependeza saaanaaa!!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 17, 2010

    Weweee CCM haiji USA tumwemweleza fika mambo ya UK ayaachie huku huko...HUku hatunyi chai ya jioni....kwa hiyo hatuna muda wa CCM huku

    ReplyDelete
  6. wewe mshamba kweli, kwani wanakumaliza na nini? mbona ni couple ya kawaida tuu. Usitake kujua mambo yao, waone kwenye picha tuu. Don't judge the book by it's cover.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...