maji yakimwagika.
Home
Unlabelled
BREKING NYUUUUUUUZZZZZ: gari la faya lapiga mweleka magomeni muda huu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Madereva wetu wanatakiwa wafundishwe kuhusu umuhimu wa magari ya ambulance na fire hasa pale yanakuwa yakipiga vingora.Nadhani ajali hii isingetoka kama siyo dreva aliyekuwa akitokea upande mwingine kutaka kupita wakati akielewa wazi kuwa gari la fire lilihitajika kwenye dharura au ajali ya moto.
ReplyDeleteNdio maana bongo kufa simpo. afande sogeza watu mbali na tukio kwani moto unaweza kuja hapo .
ReplyDeleteuko bongo kweli kuna kazi!!
ReplyDeletebongo ni nyumbani na hiyo ni ajali tu inatokea sehemu yeyote hata angani, nb madereva kuweni waangalifu na mueshimu alama za barabarani na vingora vya fire,police,ambulance
ReplyDeletemany drivers think they are in a rally competing each other.here it seems somebody was competing with the faya truck.only god can save us from these reckless drivers.so please say your prayers when you drive anywhere in Bongo,to save you and your family from these killer drivers.
ReplyDeleteIkiwa gari la zimamoto linalo endeshwa huku linapiga kelele linagongwa what chance do regular drivers have on these death streets?
ReplyDeleteLISHAPINDUKA HILO HAKUNA JINGINE SUBIRI MOTO UWAKE. ANGALIA HAKUNA HATA LAKUUZIMA MOTO UTAKAO WAKA HAPO.
ReplyDeleteNYIE WABEBA BOX ACHENI MAMBO YENU YA KISHAMBA KILA LITU CHA BONGO MNAKIKANDIA...!!!
ReplyDeleteACHENI UFINYU WA MAWAZO NA ULIMBUKENI ULIOWAVAA KWENYE MBONI ZENU ZA MACHO MTAONDOKANA NA UTUMWA WA FIKRA ULIOWAVAA.
WAHAPA HAPA.