Msanii wa Bongo freva,Dully Sykes akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo katika hotel ya Sayyida kuhusiana na shoo yake ya leo katika tamasha la ZIFF linaloendelea kufanyika katika viwanja vya Ngome Kongwe,Zanzibar
Baadhi ya waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika leo katika mkutano uliofanyika katika hotel ya Sayyida,Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...