Home
Unlabelled
Korea Kusini yalipatia msaada wa Komputa Bunge
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa tutaingiliwa hadi uvunguni!!
ReplyDeleteYaani hadi BUNGE linapewa msaada! Tena wa milioni 20!
Je, hizo kompyuta zimefanyiwa uchunguzi wa virusi na programu nyingine za kunasa taarifa?
Najua kuna watakaosema Tanzania ni taifa dogo sana kwa Korea ya Kusini kutaka kuchunguza chini chini lakini ni bora kuwa waangalifu.
Hizo kompyuta zitolewe kwenye shule
Siyo msaada Watanzania.
ReplyDeleteHakuna mwanaume yeyote amanyeweza kuto mali yake hivi hivi.
Wenzetu wajanja, wanajua pa kurudishia, si tutawachekea nakufurahia? Watatulazimisha tununue magari yao au, si tuna kilimo kwanza, watatuletea mbegu za mpunga badala ya kununua kilo moja kwa shs 250 tutanunua kwa shs 250,000.00 Mtu mweupe mtu!!
Ninyi serikali ya Afrika, muache mambo ya omba omba, ninyi munaomba mupaka computer, nyinyi hakuna hata aibu, mufanya kazi mununue, siyo kuomba.
ReplyDeletekama munatoka hapo, munawapa zawadi sa shimo ya dhaabu, mujinga sana
Mujomba Paulo Kamau
Nakuru Kenya
Halafu mutumie hizo computer kwenye mambo ya muhimu ..mtashangaa na roho yenu na kukuta kila kitu kinasomwa na wenye computer zao..
ReplyDeleteKamau nipo na wewe kwa hili...kasumba mbaya sana hii. Tumezoea kutembezza mabakuli halafu hela zetu tunatumia kwenye party na semina zisizoisha. Million ishiniri tulishindwa kweli kununua peke yetu au maubongo yetu yamedata tu. Walikuja wakakuta hatuna hizo pc wakaopna watuletee kumbe wala wanaohusika walikua hawajui umuhimu wa kuwa na hizo ....
Wakiendaga kutembelea mabunge ya wenetu sijui wanaangaliaga na kuiga nini huko.
Aibu tupu. Kwa bei ya shangingi moja wabunge wangeweza kujinunulia computer zao. Uendelezaji huu wa omba omba ndio unaoturudisha nyuma. Aibu!
ReplyDeleteNilizani ntakua wa kwanza kuona tatizo la misaada. Asavali kuna walionitangulia kuliona hilo.
ReplyDeleteKuna vitu vinavonifanya nichukie kuitwa mtanzania. Mojawapo ni hili la misaada. Tuone aibu jamani ndugu zangu watanzania. Duh!!!!!!
trojan horses na madudu mengine utayakuta ndani yake, kwa uwezo mdogo wa Tanzania ata kama ukizi-scann zote hautakuta kitu bali wamejificha ndani yake na wanakuwa activated after few months after you switched them on.
ReplyDeleteMambo ya espionage hayo!
dah! Tanzania yangu inaelekea wapi!
hata kama hizo komputer ni bora kiasi gani. bei yake haitaweza kuzidi milioni 13.5
ReplyDelete