Moto uliozuka katika duka moja lililopo eneo maarufu la biashara mjini Zanzibar, Darajani, umesababisha duka hilo na mgahawa uliokuwa pembeni yake kuteketea.Maduka matano yaliyokuwa jirani pia yaliathirika na moto huo, ila juhudi za wenye maduka za kuokoa mali zilifanikiwa kuepusha hasara zaidi. Kikosi cha zima moto kiliwasili na kuufanikiwa kuuzima moto huo. Picha na Dk. Boha/Coconut FM



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...