-TANZ UK-
Tawi La Leicester
Kwa heshima unaalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza
Tawi La Leicester
Kwa heshima unaalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza
Rasmi wa Jumuia ya Watanzania UK tawi la mji wa Leicester,
Mkutano huo Utalitambulisha tawi kwa Wakazi wa jiji hili
Na Kufuatiwa na zoezi la Kuandikisha Wanachama,
na baadaye kufuatiwa na
Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa tawi
SHIME TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA UANACHAMA
NA KUGOMBEA UONGOZI
TANZ UK NI JUMUIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA.
MLEZI WAKE NI BALOZI WA TANZANIA UINGEREZA,
MAKAO YAKE MAKUU YAKO LONDON. WANACHAMA WAKE, KWA MUJIBU WA KANUNI, NI RAIA WA TANZANIA
AU WALE WOTE WENYE UHUSIANO NA TANZANIA JAPO SI RAIA
Sifa za Mwanachama:
-Awe Mtanzania kwa Uraia
-Asiwe Raia wa Tanzania, bali awe na
Uhusiano wa karibu na Tanzania
-Awe mkazi wa Leicester
-Awe tayari kulipa ada ya Uanachama
Itakayopitishwa na Uongozi wa Tawi
Sifa za Kiongozi:
-Awe na sifa za Mwanachama
-Awe tayari kulitumikia Tawi na Jumuia Kwa
Mujibu wa Katiba ya Jumuia
MKUTANO UTAFANYIKA:
LEO JUMAPILI 04-07-2010
MUDA: SAA TISA KAMILI MPAKA
Mkutano huo Utalitambulisha tawi kwa Wakazi wa jiji hili
Na Kufuatiwa na zoezi la Kuandikisha Wanachama,
na baadaye kufuatiwa na
Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa tawi
SHIME TUJITOKEZE KUJIANDIKISHA UANACHAMA
NA KUGOMBEA UONGOZI
TANZ UK NI JUMUIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA.
MLEZI WAKE NI BALOZI WA TANZANIA UINGEREZA,
MAKAO YAKE MAKUU YAKO LONDON. WANACHAMA WAKE, KWA MUJIBU WA KANUNI, NI RAIA WA TANZANIA
AU WALE WOTE WENYE UHUSIANO NA TANZANIA JAPO SI RAIA
Sifa za Mwanachama:
-Awe Mtanzania kwa Uraia
-Asiwe Raia wa Tanzania, bali awe na
Uhusiano wa karibu na Tanzania
-Awe mkazi wa Leicester
-Awe tayari kulipa ada ya Uanachama
Itakayopitishwa na Uongozi wa Tawi
Sifa za Kiongozi:
-Awe na sifa za Mwanachama
-Awe tayari kulitumikia Tawi na Jumuia Kwa
Mujibu wa Katiba ya Jumuia
MKUTANO UTAFANYIKA:
LEO JUMAPILI 04-07-2010
MUDA: SAA TISA KAMILI MPAKA
SAA KUMI NA MOJA KAMILI MCHANA (3.00-5.00PM)
PAHALI: HASHI COMMUNITY CENTRE, 60-66 NEDHAM STREET LEICESTER, LE2 0HA (MKABALA NA CHARNWOOD PRIMARY SCHOOL)
TAFADHALI TUJUMUIKE KWA WINGI NA TUWAARIFU WENZETU
VIBURUDISHO VITAKUWEPO!!
Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na:
Abdul Dau- dau33@hotmail.com- Simu 07404563772
Frida Kusamba- johnfrida@yahoo.com- Simu 07969968623
AHSANTE SANA
TAFADHALI TUJUMUIKE KWA WINGI NA TUWAARIFU WENZETU
VIBURUDISHO VITAKUWEPO!!
Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na:
Abdul Dau- dau33@hotmail.com- Simu 07404563772
Frida Kusamba- johnfrida@yahoo.com- Simu 07969968623
AHSANTE SANA
Buuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ReplyDeleteNtaweza wapi mambo yenu nyia hayo bwana weee ahhhhh
Mambo yenu hayo ya Isti Miiid lendsi na vingongoji vyake
Aknali antaka kupelekwa Naaaaaandoz
haya bui nimekukubali