(Picha na Anna Nkinda)
(Picha na Anna Nkinda)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa kwavile tatizo la barabara mbovu ni la nchi zinazoendelea mnahalalisha ubovu wa barabara za Tanzania? Kwani kinachosababisha ubovu wa hizo barabara ni kuwa nchi inayoendelea au ni kukosa Leadership na matumizi mabaya ya fedha za serikali vikichanganywa na Rushwa ambayo inatokana na uongozi mbovu ambao unajihusisha na vitendo vya rushwa au kuviendekeza kwavile na wao wanafaidi kutokana na hivyo vitendo viovu vya Rushwa? Kwahiyo mnapoitoa hiyo picha kwenye hii globu mnataka kutuambia nini? Kuwa tusilalamike au mnataka kutufanya tuzoee ubovu wa barabara au mnataka kumsafisha nani? Hebu acheni u-Kalume Kenge ninyi wabongo...It doesn't matter who else has the same problem....we address our own and on our own terms and conditions...make our leaders accountable of such issues...siyo wanakaa bungeni tu na kudai waongezewe allowances...Mmenipa hasira kweli na huo usemi ati si tatizo la Tanzania tu....so what?
ReplyDeleteMdau-New York City, USA
tupeni statistics za barabara mbovu na nzuri(pamoja na ubora)za Kenya na Tanzania. kenya nimefika, hatuwakii hata kwa dawa wako mbali...
ReplyDeletena wako aggressive in all aspects, hawadanganyiki
KAZI KUTAKA KUJIENGEZEA MISHAHARA HATA MA MASTAA WAO WASINGEWEZA KUFANYA UPUUZI HUO...HATA NDIO TUNAPOONEKANA KAMA MTU WEUSI AKAILI KANYABOYAAAAA.
ReplyDeleteETI KENYA NIMEFIKA!!!! WAPI NAIROBI? NENDA VIJIJINI UTAONA KENYA ILIVYO, UMEENDA KENYA YA KUELEKEA SOMALIA AU NJE TU YA NAIROBI! PAUL KAMAU UNASEMAJE?
ReplyDeleteKwa kutumia picha hiyo pekee huwezi kutueleza kwamba barabara za Kenya ndivyo zilivyo kwani habari ni "bias" kwa kuonyesha upande mmoja.
ReplyDeleteKama mdau mmoja alivyosema basi linganisha na barabara za Tanzania kama ndio lengo lako. Kama hiyo ulipiga Kenya vijijini basi nenda Tanzania vijijini pia alafu ulinganishe. Tofauti na hapo unatuletea uzushi tu ambao hauna manufaa kwetu... Kwa upeo wangu mdogo labda Kenya watakuwa mbele au tofauti ya nchi hizi mbili kwa wanaokaa vijijini ni ndogo sana.
Watu wengi wamekimbilia vijijini na kusahau vijijini au mnasemaje? Hapa sijasikia mdau kutoka kijijini wengi ni watu wa mjini tu... Ukiondoa barabara kuu... barabara nyingi Tanzania ni kazi kweli kweli hasa kipindi cha mvua abiria wanapata taabu. Pili tunaweza kusema kwamba labda mdau wa kutuma hii post ameashiria kuonesha barabara mbovu nchini Kenya bila kujali ubovu wa barabara za Tanzania. Kwa wanakijiji (Kenya na Tanzania) wengi wao wasingeweza kusoma hii post kwa kuwa huduma za internet hazipo vijijini kwao shida ya barabara lipo wazi. Ubovu wa barabara hasa vijijini ni tatizo bado na hilo ndilo la msingi siyo kutuonyesha picha moja nchini Kenya. Kwa hiyo barabara za Tanzania hazipo ambazo ni mbovu zaidi ya hiyo moja uliyotaja nchini Kenya?
Kamautanroads@gmail.com
ReplyDeleteNkyabo- Bongo
Ndiyo Kenya nimefika barabara mbovu wanazo sawa lakini there's no way unaweza kucompare Kenya na tz or any other EA country wako mbali ndiyo maana wanatambulika world wide. That's why tukitaka kulinganisha tuangalie statistics no siyo barabara moja tu
ReplyDeleteNdiyo Kenya nimefika barabara mbovu wanazo sawa lakini there's no way unaweza kucompare Kenya na tz or any other EA country wako mbali ndiyo maana wanatambulika world wide. That's why tukitaka kulinganisha tuangalie statistics no siyo barabara moja tu..
ReplyDelete............................................................................
Hongera mdau kwa kufika Kenya!!! kwa hiyo dunia inaitambua Kenya ka sababu ya barabara zao nzuri...