Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akimkabidhi Zawadi ya Kinyago Naibu Waziri wa Mazingira wa Korea Jong Soo Yoon Mara Baada ya Mkutano wa Ushirikiano kuhusu Usimamizi wa Mazingira Baina ya Serekali Korea na Tanzania Uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Naura Mjini Arusha.
Home
Unlabelled
zawadi kwa mgeni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mbunge mtarajiwa wa arusha mjini
ReplyDeleteUDUMU UDUGU KATI YA KOREA KASKAZINI NA TANZANIA.
ReplyDeleteHivi huyu muheshimiwa ameolewa? Nimekuwa naficha hisia zangu kwa muda mrefu, naomba msaada. Ananivutia kwa jinsi anavyojiheshimu na ukweli kwamba amekwenda shule.....
ReplyDeleteKorea ipi michuzi? kuna kusini na kaskazini sio Korea tu
ReplyDeletemdau wa hapo juu napenda kukufahamisha kuwa huyu muheshimiwa ana ndoa na DPP wa zanzibar..........cina mengi ni hayo tu kwa leo mdau wangu.
ReplyDeletemdau wa Sat Jul 31, 12:53:00 PM, asante kwa majibu. Mwenyezi Mungu aibariki ndoa yake.
ReplyDelete