Home
Unlabelled
BREKING NYUZZZ: ajali mbaya yatokea magomeni asubuhi hii na kusababisha mtu mmoja kupoteza maisha papo hapo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Watu wa daladala tafadhali tujitahidi kupunguza speed zisizokua na msingi!! Haraka ambazo mara nyingi mwisho wake ni huu!! Kila muendesha chombo si watu wa daladala peke yao wajitahidi kufuata sheria za barabarani kwni si kwa ajili ya Trafik wala serikali ni kwa ajili ya maisha yetu wenyewe na usalama wa vyombo vyetu!! Lats Practise "Self Defensive Driving" Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi amina. Kama alikua amefunga huyo ni direct peponi!! kwa mujibu wa hadithi na aya
ReplyDeleteJamani si hata tutafute kitu cha kumfunikia, huo ni utu tu. Naona hata watoto wapo wanakwenda kuangalia, jamani jamii yetuuuuuuuuuuuuuu, inakwenda wapi nisaidieni jamani uweeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!.
ReplyDeleteKumbe wenyewe kwa wenyewe! lazima kulikuwa na vituko kabla ya Ajali!
ReplyDeleteVipanya hizi wangevipiga marufuku, humo ndani ukipata ajali ni kama uko kwenye kibiriti
ReplyDelete