(picha na Freddy Maro)
(picha na Freddy Maro)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiki kitambaa cha kijani na mradi wa umeme kinaendaje? mimi sina chama inaniuzi kuona wahusika wanafanya vitu kwa jazba za kujipendekeza kwa mtu anaye ongoza nchi.
ReplyDeletebaada ya miaka kadhaa huu mnara utabadilishwa jina na kuitwa mnara wa JK.
ReplyDeleteHii inaonyesha ni jinsi gani wajinga hawautambui umuhimu wa historia.
Shule yangu, "Kigogo Darajani" iliitwa "Gulman Rutihinda" eti kwa sababu mwalimu mkuu wa wakati ule alikuwa na urafiki "wa ndani" na muheshimiwa Rutihinda.
lakin tanesco wana ubia na rangi ya kijani we chunguza tu vizuri mkuu hapo juu.
ReplyDeleteMbunifu wa mnara sijui kasoma wapi lakini ninavyo jua ni kwamba mnara wa matofali ya Cement si wa kudumu.Tunayo mawe ya kutosha na magumu kuweza kukaa miaka mamia kadhaa au hata elfu.Sijui kwanini hakufikiri hilo.
ReplyDelete