Bismillahir Rahmanir Rrahim
Amesema Allah S.W: Mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya Allah ni kama mfano wa punje moja iliyotoa mashuke saba, ikawa katika kila shuke pana punje mia. Na allah humzidishia amtakaye (zaidi kuliko hivi) na Allah ni mwenye wasaa mkubwa (na) mwenye kujua. Suratil Baqarah (2:261)
Uongozi wa masjid munawar Jang'ombe kwa Maharuki - Zanzibar, unawatangazia waislamu wote bara na visiwani kuchangia katika upanuzi wa msikiti kwa kuwasilisha michango yao moja kwa moja msikitini au kupitia benki ya watu wa Zanzibar A/C 0212 0602 8457
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na uongozi kwa namba
0777 450 140/238 927
Wasalaam.
Amesema Allah S.W: Mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya Allah ni kama mfano wa punje moja iliyotoa mashuke saba, ikawa katika kila shuke pana punje mia. Na allah humzidishia amtakaye (zaidi kuliko hivi) na Allah ni mwenye wasaa mkubwa (na) mwenye kujua. Suratil Baqarah (2:261)
Uongozi wa masjid munawar Jang'ombe kwa Maharuki - Zanzibar, unawatangazia waislamu wote bara na visiwani kuchangia katika upanuzi wa msikiti kwa kuwasilisha michango yao moja kwa moja msikitini au kupitia benki ya watu wa Zanzibar A/C 0212 0602 8457
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na uongozi kwa namba
0777 450 140/238 927
Wasalaam.


Suala la wazanzibari hili, si la muungano!!!
ReplyDeleteRejea mafundisho ya dini, afanyaye lilifaradhishwa ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani hupata mara sabini na yule afanyaye lililo la suna hupata malipo sawa na faradhi. Kazi kwenu waislamu, ipo sababu yeyote ya kuukosa ujira huu?
ReplyDeletewabillahi taufiq