Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP),Mchungaji Christopher Mtikila.


WAKATI kampeni za uchaguzi mkuu zikifunguliwa rasmi leo hii, Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC) imemuengua aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, kutokana na kutotimiza masharti yaliyowekwa kwa wagombea urais.

kwa habari kamili.

BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. UCHAGUZI WA NINI WAKATI KIKWETE NDIYE MSHINDI HUKU NI KUPOTEZA MUDA NA PESA BURE

    ReplyDelete
  2. Hizo kasoro za hao watu ni zipi. Tunataka tuonyeshwe na wa CCM wadhanmini wake tuone nao kama hawana kasoro. Tunataka kujua hizo kasoro ni zipi?

    ReplyDelete
  3. Aende akachunge kondoo wake waliopotea, kwenye siasa hana jipya , akawadanganye haohao kondooo

    ReplyDelete
  4. kasoro moja wapo ni kwamba hana wadhamini hana wagombea ubunge wala madiwani hana mgombea mwenza.

    ReplyDelete
  5. Mbona Mgombea wenu ana mapepo na sisi hatulalamiki? Pole Mchungaji

    ReplyDelete
  6. hana wadhamini wa dini na dhehebu tofauti.

    atapata kazi saana kuteua viongozi wa serikali walio walokole tuu.

    ReplyDelete
  7. Anonymous Sat Aug 21, 02:19:00 PM
    Ndani ya kichwa chako kuna kitu kweli?? Nahitaji tu kujua hilo!!
    kondrok!!

    ReplyDelete
  8. Anonymous 08:41:00PM
    dini na dhehebu tofauti leo ni ishu?? kazi kuteua viongozi wa serikali walio walokole tuu!! ha, kuna taabu?? leo kuna walokole wangapi serekalini??
    waweze wasumani washindwe wakiristo! jifunze kufikiri.

    ReplyDelete
  9. Hivi kwa nini watu bado wanamwita mtikila mchungaji wakati maneno na matendo yake yanapingana na INJILI? Huyu jamaa ni feki. Tuulizeni sisi tunaomjua tangu 1970's. Ngombanile.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...