Hayati Mnomba Jaidi enzi za uhai wake


Kwa niaba ya familia na ukoo wa Njaidi, tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu na rafiki yetu, MNOMBA NJAIDI kilichotokea ghafla Ijumaa ya tarehe 27 August 2010 huko Ireland. Marehemu alipendwa sana na wengi lakini Muumba alimpenda zaidi - tunamwombea mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amina.

Maombi ya Ushirikiano:
Kwa niaba ya familia na marafiki wa marehemu, tunaomba msaada wa hali na mali toka kwa watanzania wote waliowahi na ambao hawakuwahi kumfahamu. Michango yenu ya hali na mali inatakiwa ili kufanikisha usafirishaji wa mwili wa ndugu na rafiki yetu kuelekea Tanzania (Toka Ireland).

Kwa michango tafadhali tumia details zifuatazo;

United Kingdom:
Account name: Y W Mirambo
Account number: 726 59 181
Sort Code: 09-01-26
Bank: Santander Bank

International transfer number: Above details zitafaa lakini namba tutaweka hivi karibuni kurahisisha International transfers

Simu: Yusuph +44 7972256826, Munde +44 7869410750, Chambi +44 7900626410

ASANTENI KWA NIABA YA FAMILIA YA MAREHEMU NA MUNGU AWAJAALIE NA AWAONGEZEE SABA MARA SABINI

Mungu alitoa na Mungu ametwaa
Jina lake litukuzwe
- Amen!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Poleni wafiwa, swali hii bima ya NSSF ya kusafirisha maiti inaanza lini? hii michango itatumaliza.

    ReplyDelete
  2. Inalillah wainaillah rajiun.
    I went to Mzizima with him, the last time I saw him was in Morogoro hotel more than 10 years ago. He was a friend kwakweli. Poleni sana kina Adam and that lil sister of yours, your other brothers, your parents, ndugu jamaa na marafiki wote especially Chambi

    Ex Mzizima

    ReplyDelete
  3. Nyie haya majina yenu ya kihuni unadhani kuna mtu atachanga? Kwanini mtu asiandike jina lake kamili ili iwe point of reference hata kama pesa zimeliwa??? Poleni wafiwa but jaribuni kuandika majina yenu kamili

    ReplyDelete
  4. This is very sad and shocking news! May the Almighty God rest his soul in Eternal Peace. Pole kwa familia na Mwenyezi Mungu awape subira kipindi hichi kigumu.

    ReplyDelete
  5. Nick CHUMAAugust 30, 2010

    Duuuhhh!.. Ni habari ya kushtusha. Poleni wafiwa,ndugu,jamaa na marafiki.Inanikumbusha those old days we had in A town. RIP Bro

    ReplyDelete
  6. My condolosence to the bereaved family. such a young life taken in an instant but that is Gods great work. May he rest his soul in peace. and as for you anonymous neanderthall who commented rubbish you were not forced to. so please leave those who have better to say. life is too short we might be paying you orbituaries 2morrow. so dont count your chickens before they have hatched!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  7. RIP DJ Mnomba. You will be missed by many music lovers who knew you, both, in Tanzania and the rest of the world.

    ReplyDelete
  8. I.W.R
    Poleni familia ya Njaidi. Jitahidini muje mumsitiri katika ardhi aliyozaliwa ili asije zikwa na sanduku kama ilivyofanyika Italia
    Mwenyezi Mungu yu pamoja na wanaosubiri

    ReplyDelete
  9. Mnomba was one of the sweetest schoolmates at Mzizima Sec. School. RIP Mnomba... I will miss you so... U had the cutest smile. Luv u always.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...