Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Bw. John Tendwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu Sheria ya Gharama za uchaguzi leo jijini Dar es salaam ambapo ameongeza muda wa siku 10 kwa vyama vya siasa kurejesha fomu zinazoonyesha matumizi ya fedha wakati wa kampeni na vyanzo vyao vya mapato, na kuvitaka vyama ambavyo havijakamilisha ujazaji wa fomu hizo kukamilisha zoezi hilo kwa mujibu wa sheria kabla ya tarehe 6, Septemba.
(Picha na Aron Msigwa – MAELEZO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...