

wa wanachama na viongozi waandamizi wa CUF
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka Michu shukran kwa kutukumbuka wana CUF tunaomba uendelee na moyo huo huo.
ReplyDeleteHilo nyomi hapo juu si la kawaida mwaka huu CCM wameshikwa pabaya
safi misupu kakutupa wana cuf haki yetu ya kujidai kwenye blog ya jamii
ReplyDeletete!te!ras makunja naona leo una kofia nyeusi na bila ya gitaa mkononi kweli unapenda amani
ReplyDeletechama kikuu cha upinzani tanzania hicho,na ni chama kinachoongoza kwa ustaarabu,wao wanamwaga sera ,hakuna propaganda za vijiweni kama vyama vyengine.
ReplyDeleteHicho ndiocho chama chenye ilana inayowalenga wananchi haswaa.
ReplyDeleteHAKI SAWA KWA WOTE
Hiki chama kukanyaga ikulu, labda mtume issa ashuke, hakuna chama dhaifu kama hiki, Badala ya kwenda kugombea ubunge tabora, aje awatetee wanachi wa tabora na kanda ya magharibi kwa ujumla anakalia kugombea uraisi.
ReplyDeleteHii ni mara ya ngapi anagombea? Hivi hana washauri.
Siasa bwana ati leo CUF-Bara chama cha kistaarabu CUF-Visiwani chama cha vurugu ukiuliza vurugu gani utaambiwa kina nguvu Pemba. Nyie mliopindua boti kule mkauwa watanzania hadi wengine kukimbilia ukimbizini Kenya sio wana vurugu?
ReplyDeleteUkiwakuta barabarani utakuta wanasema mwenyekiti wetu msomi hivi usomi wake unamsaidia kweli manake hapati wabunge bara haimarishi chama bara kwani anajua haiwezekani kwasababu kimejawa udini na ukiritimba, Tangu kina Mapalala hawana sera. wataishjia kusema haki sawa kwa wote badala ya haki kwa waislam
ReplyDelete