Kocha wa timu ya Taifa ya Pool,Denis Lungu akiwaelekeza wachezaji wa timu hiyo namna ya kushika fimbo na kupiga mpira wakati wa mazoezi yao yanayoendelea kufanyika katika klabu ya Break Point,kijitonyama.
Kocha Denis Lungu akiwapa maelekezo wachezaji wa timu ya Taifa ya Pool wanaojiandaa na mashindano ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Novemba,8 2010 huko nchini Ufaransa.timu hii ina wachezaji nane (8) ambani ni Felix Atanas,Abuu Shaban,Godfrey Sway,Mohamed Iddy,Omar Akida,Godfrey Muhando,Aliakber Akberal na Arjuan Lavinja.ikiwa chini ya udamini mkubwa wa bia ya Safari Lager.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii post ya kocha wa timu ya taifa Tanzania iliwekwa wazi kwa mtu ku-apply au ndiyo vile tena mambo ya kupigiana pande. Kwanini nasema hivyo?

    Mimi nimekuwa semi-pro wa snooker hapa London na nilikuwa najifunza kwenye Snooker iliyowatoa kama JImmy White na wengine wengi. Ila kwa sasa nimeachana nayo kutokan ana umri na box plus familia.

    Sasa huyu jamaa ndiyo kocha wa taifa anafundisha BASIC SHOTS ZA POOL kwa sisi tunaojua lakini kweli nyie mshindwa hata kutambua uwezo wake KWELI? Kwanini nasema hivyo?

    Kwanza naanzia kwenye mwili tazama jinsi body alignment na pool que very very poor. Tazama mkono wake kwanza amevaa glove pili tazama vidole vyake vilivyo kwenye pool table jinsi alivyo viweka hakuna stability ya ku-control que tip kuweza ku-hit que ball panapohitajika kwa shoti.

    I have more to offer kwa wacheza snooker wa kitanzania kuliko hata huyo jamaa japokuwa sina certificates za kuweza kufundisha mchezo huo ila kwa kile nilijifunza mimi I can offer more than this dude what he is doing as shows on the picture.

    Pool siyo kushika que na ku-hit que ball unaanzia mwili jinsi unavyosimama, jinsi ya ku-control pumzi, jinsi ya kushika que, then unakuja kwenye ku-hit que ball, after this shot what next ni akili sasa hapo inabidi ifanye kazi na mahesabu. Que ball contol na vingine vingi tu

    ASHANTENI RAMADHANI NJEMA

    MPIGA BOX UKEREWE HAPA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...