Kaka Michuzi kwanza pole kwa kazi ngumu unayoifanya.
Nikiwa kiongozi na Kocha wa Timu ya wa Tanzania wanaoishi UK, natoa taarifa kwa Watanzania wote kuwa tumeweza kupita stage zote na kuweza kufikia nusu finali za African Cup. Jumamosi hii tunakwaana na Wanaigeria kwa kiwango chao tutawalaza tu.
Dua. Mungu Ibariki Tanzania. Ameen
ndugu kiongozi na kocha wa timu ya wa Tanzania Uk hebu tueleze basi ni wapi mtakapo cheza hiyo nusu fainali, wakati na kiingilio nasi tuje kuona hiyo nusu fainali?
ReplyDeleteWe coach hizi matches zinachezwa mji gani???????
ReplyDeleteHang on! kocha wa timu ya taifa ya wa Tanzania UK? unahakika? haiwezekani hata siku moja na kusema kweli wala hatukutambui wewe na timu yako ya wa Tanzania.
ReplyDeleteUnachotaka kusema ni kuwa timu yenu ya wa Tanzania wa sehemu fulani nchin UK hapo kidogo nitakubali lakini wa Tanzania wote uk hamtuwakilishi kwa timu hiyo maana hatujakuchagua wewe, kamati yako au hata hao wachezaji kutuwakilisha kama timu ya Taifa hapa uk.
Nawe michuzi nawe nakulaumu pia kwa kuruhusu habari zisizo sahihi kutokea hapa.
Watanzania tuna matatizo makubwa ya ligi na mabishano yasio na msingi. Mwaka jana nikipitia michuzi blog nilipiga tarumbeta juu ya Watanzania millioni ukiwemo wewe anonymous wed 07:37pm kujitokeza sikuwaona. Juu ya kuacha namba zangu kazaa na mail address ni watu wachache tu waliowasiliana na mimi na walioweza kuja na nikiwa na akili timamu nimeamua kubakia nao na ndio wanaounda timu. Tulinyimwa hadi bendera ubalozini mwaka jana. Kama unauchungu sana sheikh tafuta wachezaji wako ita timu ya watanzania halafu basi. Sioni kama nitatizo maana nia zetu zakutangaza taifa letu litatimia bila mtafaruku.
ReplyDeleteKwa wale wanaotaka kuja ama kuchangia kiuchezaji mnakaribishwa. Hatutaki michango ya kifedha. Wasiliana na mimi kwenye E-mail ifuatayo: Sweety_s_2007@hotmail.com
Link ya mashindano: www.uanu.co.uk
Mashindano yapo East London na kama unataka kuja mdau nitumie mail nitawasiliana na wewe.
Ni mimi kiongozi watimu na ambaye sikuchaguliwa.
Shukran