Home
Unlabelled
2001 TOYOTA RAV 4 INAUZWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Usipoteze hiyo pesa ,kwani hapa nilipo unapata kwa mil 8-9 kusafirisha tsh 1600000,wasilaina na mimi georgekululetera@yahoo.co.uk nitakutumia gari ,Acha na huyo mwizi
ReplyDeleteMdau
Kweli Tz pesa nje nje.Kwa bei hiyo, year, millage. Eeh bwana eeeh!!!
ReplyDeleteHuu kweli ni utani na hela. Yaani gari RAV 4 ya 2001, bei yake ni TZS 21 million!!
ReplyDeletehili siyo lile lililoibiwa pale Mlimani City..alafu mbona bei kubwa hivyo atawavunja moyo watu.
ReplyDeleteUna akili timamu wewe unayeuza RAV4 kwa milioni 24? Gari exactly kama hiyo nimeinunua recentlty kwa milion 8 hivi majuzi. Magqari bongo ni bwererereeeeeee.
ReplyDeletenyie ni watu wa ajabu sana sasa kama bei yote hiyo kuna haja gani ya kutangaza hapo kwenye blog wakati kuna miyard kibao mtu unaenda kwa raha zako kuchagua kuweka hapo ndio isaidie nini tena kwa bei hiyo ya kifisadi kabisa hupati mtu hapo.
ReplyDeletejamani bei hizo angalieni hivi utauza kweli?
ReplyDeletewaosha vinnywa bwana lazima wazungumze , sasa kama unaona gari bei kubwa kaa kimya , utapata nini ukimuharbia mwenzio biashara yake ???
ReplyDeletepambaffffff!!!!!!
Nyie kama hamna hela si kaeni kimya tuu. Tuacheni sisi wenye pesa zetu tununue hiyo gari. What is 21M? ukimnunulia mchuchu wako na kumpa zawadi kwa raha anazokupa?, Ebo?. Mshkaji subiri simu yangu kesho wasikukatishe tamaa
ReplyDeletewe unayesema uliyenunua mil 8.0 tunadanganyana(labda bajaji sio RAV4 hiyo!!). Mil. 16-18 is the range. Tuache kuosha vivywa jamaa kasema bei aliyotaja ni negotiable.
ReplyDeletekwa kifupi wasanii wa bongo, shule hawana, kama mnabisha nitajieni wasanii wenye japo bachelor.
ReplyDeleteHivyo uwezo wa kufikili ni mdogo.
wana kipaji cha kushambulia jukwaa tu.
HUo ni wizi, si Ghali kiasi hicho, kuna jamaa alikuwa anatoa za rangi nyekundu kwa ma shavu,unataka kuniambia alikuwa anazinunua milioni 21.
ReplyDeletekuna jammaa anayo alinunua milioni tisa acha bei za wizi kaka.
MASKINI BWANA NYIE WOOTE HAPO JUU MNAOSEMA BEI MBAYA MKAE KIMYA,NAONA MNAZUNGUMZA VITU MSIVYOVIJUA,KAMA HUYO ANAYESEMA AMENUNUA GARI MIL 8 NI BWEGE MTOZENI ANAJIFANYA ANAJUA KUMBE ANAUNGUA NA JUA...UNAJUA WABONGO KWA KUJIFANYA WANAJUA VITU..NDIO MAANA MNAISHIA KUNUNUA MCHINA TU SHENZI ZENU.....KWANZA KABISA NDUGU YANGU UNAYEUZA GARI HII GARI IMETOKA WAPI EUROPE AU NDIO ZILE ZA DUBAI MAANA QUALITY MATTERS ILA WABONGO HAWAJUI HILO WANADHANI GARI GARI....PUMBAVU KABISA,NA ISITOSHE NAONA LINA NAMBA YA BONGO JE UMESHALITUMIA?KAMA NDIO BASI HIYO BEI ITABIDI ISHUKE NA UZURI MMOJA UMESEMA MAONGEZI YAPO....KUSEMA UKWELI HIZI GARI BEI YAKE IPO JUU KIDOGO KAMA UK GARI KAMA HII BEI YA CHINI HUWEZI KUPATA CHINI YA POUND 3500 UKIWEKA KUSAFIRISHA SAY POUND 1000 NA USHURU NA GHARAMA NYINGINE NDOGO NDOGO INAFIKIA HUKO KWENYE MIL17 ILA KWA SABABU MTU HAFANYI KITU BILA FAIDA LAZIMA BEI IANZIE KWENYE MIL...NASHANGAA WAOSHA VINYWA WANAONGEA UTUMBO...SASA HAPO HAPO NENDENI KWENYE HII SITE www.tzadverts.com MUONE WABONGO WENZENU WANAWAUZIA GARI KAMA HIYO SHILINGI NGAPI...HATA UKIIAGIZA JAPAN BADO NI BEI KUBWA TOFAUTI NA WAJINGA WANAOSEMA MIL...LABDA KIWANDA CHA TOYOTA CHA BABA YAKO...WABONGO BWANA WANAKURUPUKA HATA BILA KUFANYA UDADISI NA KUONGEA UTUMBO...NDUGU MUUZAJI WASIKUKATISHE TAMAA KOMAA NA BEI HIYO HIYO MTU ANAYETAKA FANYA NAE MAONGEZI KWA BEI INAYOKURIDHISHA..WANAOJUA VITU WATANUNUA WAACHE WABONGO WASUKUMANE NA VI MARK 2 VYAO.
ReplyDeleteT REG is not 2001 that is 1999. hapo umenidanganya live and for that reg i doubt the millage...
ReplyDeletevvt-i siyo engine type ni teknolojia ya kisasa katika injini za magari,ilianzishwa na toyota na wengine wanatumia pia. Google utapata historia ukitaka. Engine type inaweza kuwa 1AZ-FE or like.
ReplyDeleteWe uliyesema T Reg ni ya 1999, mwone.. hiyo ni namba ya Tanzania sio UK.
ReplyDeleteKuna waropokaji waliopitiliza, milioni 8 ununue rav 4 hii, na zile za version ya nyuma milango mitano utanunua milioni ngapi mbili?
ReplyDeletehiyo bei ni kwa hela ya Zimbabwe au TZ? maana mimi nimenunua kama hiyo kwa sh.9,000,000. tu.
ReplyDeletehiyo gari haita nunuliwa kamwe kwa bei hiyo mpaka ukamilifu wa dahari.amen
ReplyDeleteKila mmoja anaongea lake lakini bei hiyo iko sawa kwani hapa uk itakuwa kati ya pound elfu tano au elfu nne na miatano, kusafirisha bei ni pound 850, ushuru wetu na miangaiko ya madalali wetu bandarini, na kama ni toyota europe ni sawa. Kuna mmoja anasema kanunua yake kwa 8 million, inawezekana lakini kwa Tanzania sishangai ukakuta hiyo gari ina namba za pikipiki na ushuru hakuna au examptation ya mwalimu aliyekufa lakini bado yupo kwenye payroll, hiyo ndiyo nchi yangu Tanzania, kila siku huwa nasema kuna watu wametoka Tanzania na kujifanya wakimbizi na hata wengine kujificha marakani na Europe bila kwenda nyumbani, leo nashangaa mchangiaji mmoja kasoma namba ya gari anasema ni T Reg, yaani hii namba ya Uk ya mwaka 1999, hajui kabisa kwamba namba Tanzania zilishageuzwa, huyu anahitaji msaada wa hali ya juu sana.
ReplyDeleteMdau uk.
VVTi - Variable Valve Timing with Intelligence. Hiyo ndio Toyota bwana.
ReplyDeleteHii ni kwa waosha vinywa wote. Ukweli ni kwamba bei aliyotaja muuzaji ni sahihi ukiangalia model yenyewe ya RAV4, mwaka iliyotengenezwa, hali yake na mileage (kilomita iliyotembea). Kwa wanaojua magari bei hii haishangazi. Kama model za zamani za RAV4 (milango mitano) za miaka kati ya 1996 na 1998 na ambazo zimechapa zaidi ya kilomita 100,000 zinauzwa hadi shilingi milioni 17 katika showrooms za Dar, sembuse hii. Isitoshe, muuzaji ameweka bayana kuwa maongezi yapo.Tusipende kuzungumza sana bila kuelewa kile tunachokizungumzia.
ReplyDeletewe Ano unasema wasanii wa kibongo hawajasoma unataka nikutajie mwenye bacholar
ReplyDeletebasi kwa taarifa yako JK ni msanii na ana PHd japo ya kupewa
Kama bei ya RAV4 model hii ACA21 AU ZCA26 ya mwaka 2001 ingekuwa 9Million basi taxi zote zingekuwa ni RAV4. Mimi niliagiza gari kama hii mwaka jana from Japan 2001 model sio VVT-i engine ilicost Tsh. 18M (Comprehensive insurance, full registered, Fire extinguisher, Triangle, kuandika vioo etc ) sasa hao wabeba mabox wanachonga tu hata hawana data. CIF ilikuwa $. 7700, Duty Tshs. 5.8M sasa huyo anayesema itacost 9 milion akanunue Mark 2 box !!
ReplyDeleteSIKIZA JAMANI,MI NISHAENDA KUIONA HII GARI NI EX-UK! TENA IMEINGIA MUDA SI MREFU NA KI INAVYOONYESHA HAIJATEMBEA SANA HAPA BONGO KWANI ANA MIKOKO KIBAO,LABDA NDO MAANA AMEAMUA KUIUZA,LAKINI GARI NI YA UK WALA SIYO ZILE ZA DUBAI REFURBISHED!!!!
ReplyDeleteI think this RAV4 is very well in condition. But I need to know more details about this RAV4.
ReplyDelete