Home
Unlabelled
dr. slaa anguruma karatu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yaani chadema wamekosa mgombea karatu nzima mpaka wamteue rev. natse. Shame on them!!!
ReplyDeleteWhat???? Tunakwenda wapi jamani? Tusichanganye maji na mafuta. Tusichanganye siasa na dini. To be forewarned is to be forearmed.
ReplyDeleteViongozi wa ndini wabaki kwenye dini,watatupeleka kubaya tukichanganya dini na siasa...historia inasema hivyo!!
ReplyDeleteJamani.Slaa na CHADEMA mbona mnatudharau watu waKaratu hivi. Mnatuletea mchungaji. Si mngemteua hata PP au Lazarus Tito. Hapana kura yangu ninampa Dr Lori wa CCM. Mwaka huu CCM inachukua jimbo.
ReplyDeleteMheshimiwa Mchungaji Lackson Mwanjali ni mbunge wa Mbeya vijijini kwa tikiti ya CCM anayemaliza muda wake. Mh,Mchg,Dr Getrude Rwakatare ni mbunge wa viti maalum kwa tikiti ya CCM anayemaliza muda wake.
ReplyDeletechadema mimi nawakubali ila kwa hili mnachemka sana.mkubwa wewe si mchungji sasa inakuaje unaacha kazi za kanisa unaingia ktk siasa tena,kondoo wako watachungwa na nani wakati unajua kabisa kazi za kanisa ni wito sasa inakuwaje uachane ka kanisa uende katika siasa mchungaji au ndio yale yale ya lwakatale.ACHENI TAMAA BWANA TUMIKIA KANISA MSIJE MKATULETEA MAMBO YA UDINI HAPA HATUTAKI BANA
ReplyDelete