Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Balozi Juma Mwapachu, akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kongamano la bonde la ziwa Victoria litakalofanyika jijini Mwanza mapema mwezi Desemba mwaka huu,kwenye mkutano uliofanyika leo katika hoteli ya Naura Springs jijini Arusha.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Balozi Juma Mwapachu, akiongea leo hukusu mipango ya kongamano la bonde la ziwa Victoria litakalofanyika mapema mwezi Desemba mwaka huu huko jijini Mwanza.mkutano huu umefanyika leo katika hoteli ya Naura Springs jijini Arusha.Picha na Woinde Shizza.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Balozi Juma Mwapachu, akiongea leo hukusu mipango ya kongamano la bonde la ziwa Victoria litakalofanyika mapema mwezi Desemba mwaka huu huko jijini Mwanza.mkutano huu umefanyika leo katika hoteli ya Naura Springs jijini Arusha.Picha na Woinde Shizza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...