

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Alfonse Kioko tafadhali fanya uchunguzi wa soko kama linaruhu kutuma ndege huku Mbeya, nyanda za juu kusini, tumechoka kusafiri kwa barabara masaa zaidi ya 12 (kumi na mbili)kwenda na kutoka Dar!! Tunakaa kwenye mabasi mpaka staili zote zinaisha!!
ReplyDeleteBwana Alfonse hao uliofuatana nao mbona hawajavaa kiitifaki, sehem kama hizo ni muhimu na ni Image ya kampuni yako lazima wangevaa kulingana na umuhim wa tukio na ingezingatiwa na watu mlioenda kukutana nao nikiangalia hiyo picha wengine casual sana pia kama vile uliwashtua hiyo safari au utafikiri uliwaomba watu toka mtaani wakusindikize tujaribu kuwa serious jamani hebu oneni wenzenu hapo walivyo smart hii inaonyesha ni kwa kiasi gani hatuko serious na mambo tunatake easy kila kitu.
ReplyDeleteKwanza kulia kama vile A. Mfinanga?!
ReplyDeleteKama ni wewe hongera sana ndugu yangu maana ndoto zako za kuwa karibu na ndege hatimaye zimekamilika. Ni mimi kija wa Mzee Poti (ARUSESCO)
ATCL kwisha habari?
ReplyDeletehao walio casual ni baadhi ya wakali wenyewe wa mambo hayo hapa nchini (the practical men). na huyo ni A.Mfinanga mwenyewe.
ReplyDelete