JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM jimbo la Mvomero, Morogoro, Mh. Amos Makalla katika uwanja wa michezo wa Mvomero Jumapili
JK akiongea na wananchi kibao waliokuwa wametanda njia nzima wakati akielekea Mvomero.

Wadau wa Mtibwa Sugar wakiwa katika mkutano wa kampeni wa JK Mvomero
Wadau wa CCM toka Dar walikuwepo kumpa tafu Amos Makalla
Twanga wakipepeta Mvomero Jumapili
wadau wa Twanga Pepeta wakisikiliza hotuba ya JK mvomero
Toka shoto ni Rogert Hegga 'Katapila', Hamisi Amigoras na Lwiza Mbuttu
Ben Kinyaiya (shoto) akiwa na wana Twanga Pepeta
Abuu Semhando 'Baba Diana' akiwa na Omari Baraka Mvomero










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Bro Amos na JK sis wana-Mvomero tuko nanyi. CCM lazima tuzidishe harakati za kupambana mpaka tuishine nguvu ya giza (chadema, solely motivated by hatred ndiyo maana wanatukana ovyo). CCM daima.

    ReplyDelete
  2. Giza tupu kwenu nyie mliopotea step, sie kwetu CCM mwanga unatuwakia!

    ReplyDelete
  3. Hapa twanga wamefuata pesa si mapenzi ya chama hata kikitokea chama kingine wanabadilisha jezi.hongereni kwa kutafuta pesa kwa staili hiyo

    ReplyDelete
  4. Nani kabaki ambae si CCM/au si mdau?isije ikawa ni njaa zetu tu?

    ReplyDelete
  5. Lini watanzania wataamka na kuanza kuelewa umuhimu wa vyama vingi ?

    ReplyDelete
  6. watu ambao tunategemea kuwa wameamka kumbe bado?vichwa vya nazi,mpaka vipasuliwe!

    ReplyDelete
  7. Omari umekimbia box Tesco unakwenda kucheza shoo za Twanga, angalia ndugu yangu huko bado tunakupenda !!

    ReplyDelete
  8. Wahenga hawakukosea waliposema "PENYE UDHIA PENYEZA RUPIA"

    ReplyDelete
  9. Nyinyi watukanaji, kubalini tu kuwa Watanzania wengi zaidi hawatafuata matakwa yenu. Kutukana watu hakutawasaidia. Acheni kuanika chupi zenu chafu hadharani. Msidhani mna akili kuliko kila mtu. Mna chuki zaidi tu. CCM MBELE DAIMA. Hatutakiki kuburuzwa na chama cha kikabila cha Chadema.

    ReplyDelete
  10. mdau hapo juu umenivunja mbavu,eti kaacha box Tesco kaenda kucheza shoo twanga!!! box oyeeee. mie nimetoka kupiga box Sainsbury..teh teh teh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...