Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kabla ya mazungumzo yao kwenye Ofisi za Umoja huo jijiniNew York juzi. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe baada ya kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Mjini New York alikomwakilisha Rais Jakaya Kikwete.Katikati ni mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akilihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Mjini New York alikomwakilisha Rais Jakaya Kikwete juzi.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wanachuo wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Aiowa nchini Marekani wakti alipotembelea Chuo hicho hivi karibuni.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pili kushoto) na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto) wakiwa katika Mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon (watatu kulia ) na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo, Dr. Asha Rose Migiro (wanne kulia) kwenye Ofisi za Umoja Mataifa Mjini New York.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ankal,

    Ni jambo zuri Waziri Mkuu wetu anapewa exposure katika masuala ya kimataifa huyu ni mtoto wa mkulima ambaye anawakilisha jamii halisi Big up pinda lakini angalia mafisadi wasikununue

    ReplyDelete
  2. Dah, afadhali Pinda naye kapewa shavu maana Bosi wake alikuwa kambania sana kila siku yeye tu safarini mpaka anadondoka lakini wapi......hawaachii wenzake.
    Na isingekuwa uchaguzi ungesikia tu.

    ReplyDelete
  3. muheshimiwa alikua anaongea lugha gani naona mama Asha kule ana headset...!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...