Mchezaji wa mpira wa wavu wa timu ya Intergrator, Stanley Magulya akiruka kurudisha mpira wakati wa mchezo wa fainali dhidi ya timu ya Barclays Premier Life, katika maadhimisho ya Siku ya Michezo ya Benki ya Barclays kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam juzi. Intergrator ilishinmda kwa seti 2-1.
Mchezaji wa timu ya netiboli ya Barclays Premier League, Wema Allan (katikati) akichuana na wachezaji wa timu ya Junior Eagle, katika maadhimisho ya Siku ya Michezo ya Benki ya Barclays kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam juzi. Junior Eagle ilishinda.
Mchezaji wa timu ya soka ya Barclays Premier Life, Issa Omari (katikati) akichuana na wachzaji wa Scheme Loan, Denis Mwaruwanda na Tito Kisanga (kulia) katika maadhimisho ya Siku ya Michezo ya Benki ya Barclays kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam juzi. Premier ilishinda kwa 1-0.

Jamanieh kwani SUMO ilishindaniwa pia?kama hapana niambieni hiyo picha ya kwanza huyo mchezaji anayepokea kombe alishinda mchezo gani...
ReplyDeleteMdau Istanbul
huyu naye anacheza mpira na lakuchumpa
ReplyDeletealafu anajidanganya anaupenda mpira.
na sio kama hana pesa za vifaa.
mambo mengine aaaah zinatoka tu.
ha ha haaaa, mdau wa istanbul mbavu zangu zinauma sana, umewaza nini ati sumo ilishindaniwa pia? kwi kwi kwiiiiiiiii
ReplyDeleteIssa Sekatawa, mido langu Mwenge Shooting kitambo!
ReplyDeletehongera sana barclays Bank(T) kwa kushirikisha michezo mingine maarufu kama Volleyball, japo haina maendeleo kitaifa.safi sana.
ReplyDeleteSomesheni watoto shule nyie taifa liwe na wasomi mpaka vijijini. Na tusio tunajenge taifa la hewani.
ReplyDelete