Meneja wa benki ya posta tawi la Bukoba,Maduhu Makoye akipongezana na kaimu kiranja mkuu wa shule ya sekondari ya Rugambwa Elizaberth Thomas mara baada ya kukabidhi magodoro hayo, kaimu kiranja huyo mkuu ni mmoja wa wanafunzi waathirika wa moto huo.
mkuu wa shule kongwe ya sekondari mkoani Kagera, Asha Mbaga(kushoto) akimuonyesha meneja wa benki ya posta tawi la Bukoba, Maduhu Makoye (katikati) sehemu ya bweni linalojulikana kwa jina la Nyerere lililoungua lote kwa moto hivi karibuni na kuteketeza mali zote za wanafunzi zilizokuwemo ndani ya bweni hilo.
Wakola tata!!aho abana balashoma kwani nanye nina omupango gwo kusaidia angalau abitanda bibili,wakola,ndenga na muto wange alapatao limo.
ReplyDelete