Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Mh Joel Bendera akimkabidhi nahodha wa timu ya taifa Sophia Mwasikile bendela ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na cd ya wimbo wa Taifa ,Timu hiyo inaondoka kesho kwenda Gaborone Botswana kucheza mechi ya kirafiki na botswana na baadae kuelekea nchini Afrika kusini kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika ya wanawake yanayoanza mwezi ujao mwaka huu.
Meneja bidhaa wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Dada Nandi Mwiyombela akiwakabidhi viongozi wa timu ya Taifa ya Wanawake ya Twiga Stars mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 97,13,500 ambazo zimetolewa na kampun hiyo kwa ajili ya maandalizi pamoja na vifaa mbalimbali vya michezo zikiwemo jezi.
Meneja bidhaa wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Dada Nandi Mwiyombela akikabidhi vifaa vya michezo kwa nahodha wa timu ya Taifa ya Twiga Stars,Sophia Mwasikile huku Naibu Waziri wa Michezo habari na utamaduni Mh Joel Bendera pamoja na Kaimu katibu mkuu wa TFF na Mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya TFF,Sunday Kayuni wakishuhudia.Picha zaidi Bofya Hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Sielwi hili: "...thamani ya shilingi milioni 97,13,500..."

    Ubaya wa habari za kwenye internet nyingi hazina mhariri!

    ReplyDelete
  2. Mmh Dada Nandiimekuwa kitambo..tokea Bunge. Endeleza libenek zuri la wana Bunge.
    Class of '91 Bunge Primary School.

    ReplyDelete
  3. hizo posho muwapatie na hao watoto wa watu, siyo mnatafuna mpunga wote wenyewe .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...