Mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Kijiji cha Masai Kata ya Seng’wa Wilaya ta Maswa Mkoa wa Shinynga, wakati alipowasili kijijini hapo leo mchana kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Robert Simon Kasena leo
Mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Kijiji cha Masai Kata ya Seng’wa Wilaya ta Maswa Mkoa wa Shinynga, wakati alipowasili kijijini hapo leo mchana kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Robert Simon Kasena leo



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...