Big screen inayotumika kuonyesha filamu mbali mbali za Ulaya na zile za hapa nyumbani.
Waimbaji wa bendi ya Twanga Pepeta,wakiwapagawisha mashabiki waliofika katika tamasha la filamu za Ulaya linaloendelea kwa wiki ya pili sasa katika ukumbi wa sinema wa new world cinema,Mwenge jijini Dar.ambapo leo wapo katika viwanja vya mnazi mmoja kuonyesha filamu hizo.
safu ya ushambuliaji ya wana wa kutwanga na kupepeta ikiwajibika ipasavyo mbele ya mashabiki waliofika katika tamasha la filamu ndani ya viwanja vya mnazi mmoja leo.
Mkurugenzi wa 1 Plus,Fina Mango (shoto) akiwa katika mazungumzo na MC wa shughuli nzima ya tamasha hilo,Sakina Lyoka wakati filamu mbali mbali zikidendelea kuonyeshwa katika viwanja vya mnazi mmoja leo.
watasha nao walikuwepo kucheki filamu hizo katika viwanja vya mnazi mmoja leo.
watu kibao walijitokeza kuangalia filamu hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Natoa just ka comment kuhusu picha iliyosema, "WATASHA PIA WALIKUWEPO..." IKIWA NAISHI NJE MIAKA KADHAA, NAJARIBU KU-IMAGINE COMMENT HII IPO KWENYE CHOMBO CHA HABARI CHA HUKU NINAKOISHA, ISOMEKE, NA WAAFRIKA(AU WEUSI AU JINA LOLOTE LILE),WALIKUWEPO" IKIWA NI MAELEZO CHINI YA PICHA YA WAAFRIKA (AU WEUSI) WALIOHUDHURIA SHUGHULI FULANI, SIJUI TUNGEIONAJE?
    POLITICAL CORRECT? AU HAINA SAME
    HISTORY?

    MDAU NUTRO KANADA

    ReplyDelete
  2. Mdau wa CANADA we Mshamba tu¬

    Da huyu Demu Fina Mango nilikua namzimia sana...ndugu yake alikua rafiki ya sister wangu. Tulizuka kwao siku moja miaka kama ishirini na kitu imepita...nikiona picha yake bado damu inakimbia kiaina..

    Fina nipigie angalau simu kabla Dunia haijaisha!

    M.Gonza
    Mdau LONDON

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...