

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Natoa just ka comment kuhusu picha iliyosema, "WATASHA PIA WALIKUWEPO..." IKIWA NAISHI NJE MIAKA KADHAA, NAJARIBU KU-IMAGINE COMMENT HII IPO KWENYE CHOMBO CHA HABARI CHA HUKU NINAKOISHA, ISOMEKE, NA WAAFRIKA(AU WEUSI AU JINA LOLOTE LILE),WALIKUWEPO" IKIWA NI MAELEZO CHINI YA PICHA YA WAAFRIKA (AU WEUSI) WALIOHUDHURIA SHUGHULI FULANI, SIJUI TUNGEIONAJE?
ReplyDeletePOLITICAL CORRECT? AU HAINA SAME
HISTORY?
MDAU NUTRO KANADA
Mdau wa CANADA we Mshamba tu¬
ReplyDeleteDa huyu Demu Fina Mango nilikua namzimia sana...ndugu yake alikua rafiki ya sister wangu. Tulizuka kwao siku moja miaka kama ishirini na kitu imepita...nikiona picha yake bado damu inakimbia kiaina..
Fina nipigie angalau simu kabla Dunia haijaisha!
M.Gonza
Mdau LONDON