Marehemu Kanali Jonathan Ishemo

Habari za leo Kaka Michuzi,

Nilikuwa nataka kutangaza mazishi ya baba yangu mkubwa Kanali Jonathan Ishemo ambayo yatafanyika kesho jumanne(26.10.10) kuanzia saa tano asubuhi nyumbani kwake Tegeta salasala ambapo zitatolewa heshima za mwisho na mazishi yatakuwa kwenye makaburi ya kinondoni saa tisa mchana.

Natanguliza shukurani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Habari ya kusikitisha sana, MUNGU RIP Afande Ishemo

    ReplyDelete
  2. Poleni sasa kwa msiba huu mzito, Mwenyezi Mungu awatie nguvu na kuipumzisha roho yake peponi. Amen

    ReplyDelete
  3. He was such a great man. Loving and caring for people he knew and also for people he didnt know. May almight lord rest this beautiful soul in eternal Peace.

    Amen.

    Patricia, Masika and Atu adn Madeline, please hold on to Jesus. You will recover your loss. I will pray for you guys. And Mama Ishemo too

    ReplyDelete
  4. Tutakukumbuka daima,ulikuwa na upole,mkarim na mtu wa watu.Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehem wetu mahari pema peponi-Amen
    Carlos M

    ReplyDelete
  5. Upumzike kwa Amani dear Baba.

    ReplyDelete
  6. I.W.R..ALLAH amepitisha rehema zake..sote tumshukuru ALLAH kwani kila nafsi itaonja mauti..Tupo pamoja na familia ya Kanali Ishemo na tunamuomba ALLAH Ailaze mahala pema peponi roho ya mpendwa wetu

    ReplyDelete
  7. Pole sana mama ishemo( koku) kwa msiba mzito uliokupata na familia yako. Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

    c.z

    ReplyDelete
  8. poleni sana, ingawa siwafahamu lakini nilipoona tu picha na ujumbe moyo wangu uliguswa sana. bila shaka bwana huyu ni mwema. poleni sana ni kazi ya mungu. mariam.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...