Home
Unlabelled
Mashindano ya Vijana ya Tenis yafana!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka hujamtendea haki Kijana shadya. Iko wapi taswira yake akiwa in action? kunamaelezo tu.
ReplyDeleteBwana maulid Hongera kwa kumpatia binti malezi bora. Kunasiku atakuwa mmoja kati ya maproo wa bongo huyo katika tennis. Tumpe moyo na suport binti yetu huyo.
Mamaaa wa FB - TBC1 nakuona hapo uko kazini PC za News Room zilikua zina kumiss. Hongera kwa Kutangaza vipaji vya watoto. Nitaangalia Blog yako kwa kuchakachua zaidi.
ReplyDeleteSafi sana, tujaribu michezo mingine kwani tunaweza kufanikiwa zaidi kuliko kuikamia michezo yenye fitna tu!!
ReplyDeleteNilikuwa nataka kujua tu, binti mrembo Shadya ni mtoto wa nani? kwa maana ya mama yake, manake Mau ana wake wengi ati!
ReplyDelete