David Scott na Alistai Bush washiriki wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat wakionyesha zawadi za picha walizozawadiwa baada ya kushiriki mbio hizo za mashua zilizofanyika katika fukwe za bahari ya Hindi ya Tanga ,Zanzibar na Dar Salaam hivi karibuni.
Washindi wa jumla wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat , Auron Ubrrall (kulia)na Sarah Pires wakipongezwa na marafiki zao ma baada ya kutangazwa kuwa washindi wa mbio hizo zilizofanyika katika ufukwe wa bahari ya Hindi ya Tanga ,Zanzibar na Dar Salaam hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kweli bongo kama NY.
    Maana naona diversity ...

    hivi wadau wa mnaonaje kwa jinsi wageni wanavyokula cha juu na kujiachia bila wasiwasi.
    Lakini, kwa nini wawe na wasiwasi wakati serikali iko kulinda maslahi yao.
    Wabongo karaga bao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...